Health
Daktari Azungumzia Maambukizi ya HIV kwa Watoto | Dr. Dickens Lubanga - Bungoma Children's Hospital
Innocent Tuesday, 3 February 2026 at 09:26118 views

Katika mahojiano haya maalum, Dkt. Dickens Lubanga anazungumzia kwa kina kuhusu hali ya virusi vya UKIMWI (HIV) kwa watoto nchini Kenya. Jifunze kuhusu njia za maambukizi, kinga, matibabu, changamoto za kijamii, na jinsi jamii inaweza kusaidia watoto wanaoishi na HIV. Tazama na elimika!
Katika mahojiano haya maalum, Dkt. Dickens Lubanga anazungumzia kwa kina kuhusu hali ya virusi vya UKIMWI (HIV) kwa watoto nchini Kenya. Jifunze kuhusu njia za maambukizi, kinga, matibabu, changamoto za kijamii, na jinsi jamii inaweza kusaidia watoto wanaoishi na HIV. Tazama na elimika!
👉 Subscribe kwa habari zaidi za afya kutoka TV Magharibi!
#HIVkwaWatoto #DrDickensLubanga #AfyaYaWatoto #TVMagharibi #UkimwiKenya



